Nape Nnauye: Gazeti La Mwanahalisi Linanichafua - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Nape Nnauye: Gazeti La Mwanahalisi Linanichafua

Katibu wa Halimashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akionesha gazeti lililoandika habari alizosema ni za kupikwa zikimuhusiha yeye na kuwania Urais kwa mwaka 2015, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages