Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Dk.Edward Hosea Amwaga Misaada Shule ya Sekondari ya Ilala - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Dk.Edward Hosea Amwaga Misaada Shule ya Sekondari ya Ilala


Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Dk.Edward Hosea, akimkabidhi kompyuta ndogo (Lab top), Mwalimu Mkuu wa Shule, kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali zikiwemo za kupambana na rushwa.Pia aliikabidhi shule hiyo fulana, kofia na sh.milioni.2.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Dk.Edward Hosea (kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Josephine Leonce, mwanafunzi wa kidato cha pili wa Shule ya Sekondari ya Ilala, baada ya kutembelea maabara ya shule hiyo kuona wanafunzi wanavyojifunza kwa vitendo, katika sherehe za Mahafali ya Tatu yaliyofanyika Dar es Salaam jana.Wa pili kushoto ni Mkuu wa Shule hiyo, Anna Selasini. Dk.Hosea alikuwa mgeni rasmi.Picha na Richard Mwaikenda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages