MH. ABBAS KANDORO KARIBU; HII NDIO MBEYA YETU! NA HAYA NDIO MAISHA YETU! - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MH. ABBAS KANDORO KARIBU; HII NDIO MBEYA YETU! NA HAYA NDIO MAISHA YETU!

Mkuu Mpya wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro baada ya kumaliza kula kiapo cha kuutumikia Mkoa wa Mbeya.
Soko la Sido Mwanjelwa Mbeya likiwa linateketea mwishoni mwa wiki iliyopita.
Muathirika wa Mashambulizi ya kupigwa Nondo na watu wasiojulikana ndani ya Jiji la Mbeya.
Soko la Forest Mbeya, baada ya Soko la Sido Mwanjelwa kuungua likafuata na hili kuungua.

KAPINGAZ Blog kwa kutambua utendaji kazi wa Mh. Abbas Kandoro akiwa Mwanza na Dar es salaam ambayo yote haya ni Majiji tunategemea haya yote ambayo yanawaathiri watu wa Mbeya hasa kiuchumi kwa kuipoteza nguvu kazi yao yanaweza kwisha au kupungua kwa kiasi kikubwa sana kwa kupangiwa kwako Jiji hili.
Tunaomba wana Mbeya wote wake kwa waume, vyombo vyote vya usalama na Taasisi zote wampe ushirikiano ili majanga haya yote yaweze kuaisha kabisa.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages