
Pichani
ni Helikopta ya Chadema ambayo ilianza kuonekana katika anga la Igunga
saa 10:40 jioni ikiwa na maandishi makubwa ya chama hicho na rangi ya
bluu.Ujio wa helikopta hiyo ulivuta kwa muda idadi kubwa ya wananchi
waliokuwa kwenye Viwanja vya Sabasaba wakisubiri ujio wa helikopta
mbili za CCM, ambazo awali, ilielezwa kuwa zingewasili saa 8:00
mchana.Kwa Habari Zaidi Bofya na Endelea...>>>>>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)