EXCLUSIVE:SIKUKUU YA IDDI ILIKUWA BALAAA COCO BEACH - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

EXCLUSIVE:SIKUKUU YA IDDI ILIKUWA BALAAA COCO BEACH

   Msanii wa muziki wa kizazi kipya toka nchini Kenya Jaguar akifanya makamuzi na dada yetu, katika Tamasha la Hapiq Nation, lililofanyika jana Coco Beach Masaki jijini Dar es Salaam.
Jaguar, akiserebuka na dada yetu mara baada ya kuomba mrembo wa kujiachia naye pande hizo.
Baadhi ya Mabaunsa wakimzibiti kijana mmoja aliyedaiwa kukwapua simu katika fukwe hizo.
Source: Unique Entertainment

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages