Waziri
wa Kilimo, Chakula na Ushirika,Prof.Jumanne Maghembe, akifafanua jambo
jana mchana wakati wa uzinduzi wa mpango maalumu wa ushirikiano
wa lishe kwa watoto (PANITA) uliozinduliwa katika hoteli ya
Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es Salaam
Waziri
wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Pro. Jumanne Maghembe, akiweka saini
ya dole Gumba ikiwa ni ishara ya kukuukubali mpango maalumu wa
ushirikiano wa lishe kwa watoto (PANITA) uliozinduliwa katika hoteli ya
Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa PANITA,Msanini wa nyimbo za mashairi, Mrisho Mpoto, akiweka saini
ya dole Gumba Gumba ikiwa ni ishara ya kukuukubali mpango maalumu wa
ushirikiano wa lishe kwa watoto (PANITA) uliozinduliwa katika hoteli ya
Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es Salaam jana mchana
Wadau waliohudhuria uzinduzi huo jana mchana. Picha zote na Victor Makinda





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)