VODACOM MISS TANZANIA NDANI YA JANGWANI SEE BREEZE TAYARI KWA BONANZA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

VODACOM MISS TANZANIA NDANI YA JANGWANI SEE BREEZE TAYARI KWA BONANZA

Hapa wakipima moja ya mavazi ambayo watayatumia katika shindano la Vodacom Miss Tanzania litakalofanyika Sptemba 10/2011. 

Warembo wanaoishiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania wakiingia katika ufukwe wa Jangwani See Breez ambako leo kunafanyika tamasha la michezo la Vodacom Miss Tanzania Sports Day, ambapo watashiriki kucheza michezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kuvuta Kamba, Kukimbia na Magunia, Kuchezo Soka, Kucheza mpira wa Pete na Mpira wa wavu. Shindano la Vodacom Miss Tanzania linatarajiwa kufanyika Septemba 10/2011 kwenye ukumbi wa Malimani City Jijini Dare es salaam Tanzania.
  Washiriki Wakiendelea Kushuka Kwenye gari lao tayari kwa ushiriki katika bonanza
Picha Na Habari Kwa Hisani Ya John Bukuku - Full Shangwe Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages