VIJANA KATIKA TASWIRA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

VIJANA KATIKA TASWIRA

Wanafunzi wa shule ya Msingi Kana ya jijini Tanga wakivuka barabara mara baada ya kutoka shule.shule hiyo ipo jirani na barabara ambapo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza ni hatari sana kuvuka.
Wanafunzi wa kana shule ya msingi wakitembea kando ya barabara baada ya kutoka shule nyakati za mchana.Picha Na Haki Elimu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages