Hoyce
Temu akiwa katika picha ya pamoja na Meneja Mkuu wa Kampuni ya
kuchapisha vitabu ya MKUKI na NYOTA ambayo ndiyo imechapisha kitabu cha
Hoyce Temu. Kitabu NAYAKUMBUKA YOTE kiko mitaani tayari na kinapatikana
kwa shilingi 5000 kwa nakala lengo likiwa ni kuhamasisha wasichana na
wanawake wanaopitia magumu katika maisha.
Aliyekuwa
Miss Tanzania 1999 na Mwandishi wa kitabu NAYAKUMBUKA YOTE Hoyce Temu
akichangia mambo muhimu kuhusu kitabu chake katika tamasha la PEN &
MIC lililofanyika katika mgahawa wa Saffron uliopo kwenye jengo la
Quality Plaza.
Hoyce Temu akifafanua jambo kutoka katika nakala ya kitabu chake.
Kwa Habari Zaidi <<<< BOFYA HAPA >>>>








No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)