TWIGA STAR YAREJEA NYUMBANI NA SHANGWE ZA KUTOSHA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TWIGA STAR YAREJEA NYUMBANI NA SHANGWE ZA KUTOSHA


       Kipa namba moja Fatuma Omary yeye anapenda kujiita (Juma Kaseja)
         Baadhi ya wachezaji wakiwa uwanja wa ndege baada ya kuwasili
       Twiga Stars wakiwa na Ngao waliopata baada ya kuibuka timu bora

Timu ya Twiga Stars imerudi nyumbani ikiwa imeshika nafasi ya tatu baada ya kuifunga timu ya MALAWI magoli tatu kwa bila.
Picha Na Jane John Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages