TASWIRA ZA HAYATI DANNY MWAKITELEKO ENZI ZA UHAI WAKE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TASWIRA ZA HAYATI DANNY MWAKITELEKO ENZI ZA UHAI WAKE

Danny Mwakiteleko (kulia) akiwa katika picha pamoja na wanachama wenzake wa Jukwaa la Wahariri pamoja na waandishi wa habari wa mkoani Arusha hivi karibuni.

Danny Mwakiteleko huenda hiki ndio kilikuwa cheti chake cha mwisho kupokea hapa duniani na aliyebahatika kumkabidhi cheti hicho ni Mkurugenzi wa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Serengeti Teddy Mapunda.
Hii ilikuwa siku ya mwisho ya Mkutano wa Jukwaa la Wahariri mjini Arusha, Julai 16,2011.Wengine katika picha hiyo ni Mwenyekiti Absalom Kibanda (kushoto) Salim Said Salim na Neville Meena Katibu wa Jukwaa.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages