SERIKALI YARIDHIA KUONGEZA PESA YA KUJIKIMU KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SERIKALI YARIDHIA KUONGEZA PESA YA KUJIKIMU KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU NCHINI

Waziri Wa Elimu Na Mafunzo ya Udundi Stadi Amesema Serikali Imekubali Kuongeza Pesa ya Kujikimu Kwa Wanafunzi Wa Elimu Ya Juu Nchini Ambapo Awali Ilikua Ni Shilingi 5000/= na serikali imeongeza shilingi 2500/= ambapo jumla itakua ni Shiling 7500/= Kwa Siku. 

Waziri Amesema Hayo Bungeni Leo Asubuhi Wakati akisoma Bajeti Ya Wizara yake ya Mwaka 2011/2012 Ambapo Wanafunzi Wa Elimu Ya Juu Wataongezewa Pesa Kwa Muhula Mpya Wa Masomo Unaotarajiwa Kuanza Mwezi Oktoba Mwaka Huu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages