MZEE WAMADHANI CHAGAKA AKISOMEWA GAZETI NA MTOTO WAKE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MZEE WAMADHANI CHAGAKA AKISOMEWA GAZETI NA MTOTO WAKE


MZEE Ramadhani Chagaka akisomewa gazeti na Mtoto wake Rukia Ramadhani (10)mwanafunzi wa darassa la tano skuli ya ST. Francis Maria, ambaye anapata elimu kwa njia ya kusaidiwa  na Uongozi wa Skuli hiyo kutokana na Mzazi wake hana uwezo wa kumsomesha ,ambaye ni mlemavu wa  wa miguu,huishi kwa kutegemea kuomba misaada kwa Wananchi.Picha na Mdau Othman Maulid-Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages