Meneja Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Tanzania Standard
Newspapers Limited (TSN) inayochapisha magazeti ya Daily News na
HABARILEO, Christina Geleja akisisitiza jambo wakati alipokutana na
mawakala na wauzaji wa magazeti ya kampuni hiyo mjini Arusha hivi
karibuni kwa ajili ya kupeana mikakati na kuboresha usambazaji na
uuzaji wa magazeti hayo.Picha na Marc Nkwame
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)