KIMWANA WA VODACOM KANDA YA MAHARIKI NI LOVENESS FLAVIANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KIMWANA WA VODACOM KANDA YA MAHARIKI NI LOVENESS FLAVIANA

Mshindi wa Vodacom Miss Eastern Zone 2011, Loveness Flavian (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili, Asha Saleh (kushoto) na Mariaclara Mathayo aliyeshika nafasi ya tatu.
Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wakifungua shindano lao kwa kucheza show usiku huu wa Julai 22,2011 katika Hoteli ya Oasis mjini Morogoro.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages