ZOEZI LA UCHANGIAJI WA DAMU CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) WAFANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ZOEZI LA UCHANGIAJI WA DAMU CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) WAFANA

 Baadhi ya Wanafunzi waliojitokeza katika zoezi la uchangiaji damu ambao unaendelea kufanyika katika kitivo cha sayansi ya jamii, sanaa na lugha
 Daktari wa Zahanati ya Chuo Kikuu Cha Dodoma akimtoa damu mmoja wa wanafunzi hao waliojitokeza katika zoezi hilo mchana huu.
 Wanafunzi Wa UDOM akiwepo na Mama Kazoba (anayetabasamu) wakiwa kwenye viti maalumu kwa ajili ya kutolewa damu mchana huu katika kitivo cha sayansi ya jamii, sanaa na lugha mchana huu UDOM
 Wanafunzi Wengine wakiwa wanajaza fomu kwaajili ya kujitolea Kuchangia Damu
 Wanafunzi Wa UDOM wakiwa tayari wanachuliwa damu huku wengi wakisubiri kutoa damu kwa hiari
 Baadhi ya wanafunzi waliokuwa tayari wameshachangia damu wakipata kinywaji mara baada ya kuchangia damu
 Sehemu ambapo wanazuoni walipokua wakichukua fomu kwaajili ya kujaza na ndipo waanze zoezi zima la uchangiaji damu
 Mmoja Wa Wanafunzi Salehe Mhando Akiwa anatoa damu kwa hiari
 Mdau Wa Lukaza Blog Feruzi Akiwa anaandaliwa kutoa mchango wake wa damu mchana huu katika kitivo cha sayansi ya jamii, sanaa na lugha.
 Mwanazuoni akiwa anajaza mfuko wa kuifadhia damu
 Dada akitoa damu huku akiwaeleza wenzie umuhimu wa kuchangia damu mchana wa leo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM)
 Kijana Feruzi Akiwa katika zoezi la uchangiaji damu huku akisikilizia maumivu ya sindano ya kutolea damu
Kijana akiwa anasikilizia maumivi mara baada ya kuchomwa sindano kwaajili ya kuanza kutoa damu

..............................................
Zoezi Zima la uchangiaji wa damu katika chuo kikuu cha Dodoma kimekuja mara baada ya wanafunzi wawili wa kike ambao walikua na ujauzito kupoteza maisha wakati walipofikishwa katika hospitali ya mkoa na kuambiwa kuwa hakuna damu ya kutosha.

Zoezi Hili limekuja baada ya baadhi ya wanafunzi na viongozi kuona umuhimu wa kuchangia damu na kuzuia vifo vinavyoweza kuzuilika huku viongozi wa serikali ya wanafunzi kuingia mkataba na hospitali ya mkoa wa dodoma kuhakikisha wanafunzi atakayepelekwa hospitali hapo kutoka Chuoni na Ni Mwanafunzi apewe huduma Hiyo ya damu pale inapoonekana mwanafunzi huyo anahitaji kuongezewa damu.

2 comments:

  1. oya big up BEPARI kwa hii blog, yani keep it up.What's ur secret in preparing a good blog? I once again say keep up the spirit high.by MWAKIJOLO DASTO

    ReplyDelete
  2. oya niaje bepari good work ma friend . I appreciate ur efforts just stay stronger. Man u oryaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages