Waziri
Mkuu wa Tanzania, Mizengo Kayanza Pinda (katikati) akiwa katika picha
ya pamoja na wanafunzi wa Chuo cha Ushirka na Biashara Moshi (MUCCOBS)
kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana. Wanafunzi hao walifika
bungeni kwa ajili ya kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge wakati wa
kusomwa kwa Bajeti 2011/2012 . Kutoka kulia ni Waziri Katiba na Sheria
wa Chuo hicho, Rapheel Maghoa, Pete Mushi (Naibu Spika), Marry -(Katibu
wa Bunge) na Kutoka kushoto ni Aderson Rwela (Waziri mkuu) na Rogati
Timanywa (Spika) -
Picha na Nicholaus Mmbaga -PMO
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)