Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Mstaafu wa Zambia Dr.Kenneth Kaunda
na Mama Graca Machel wakiwa katika ibada ya Mazishi ya mpigani Uhuru wa
Afrika ya Kusini Marehemu Albertina Sisulu iliyofanyika katika uwanja
wa michezo wa Orlando,Soweto jana asubuhi.Marehemu Albertina Sisulu
alikuwa mke wa mpigania uhuru wa Afrika ya Kusini marehemu Walter
Sisulu.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Dr.
Kenneth Kaunda wakiwa katika Mazishi ya mpigania uhuru wa Afrikaya
Kusini Marehemu Albertina Sisulu yaliyofanyika katika makaburi ya
Newclare, katika kitongoji cha Soweto jana mchana
( Picha: Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)