RAISI JAKAYA KIKWETE AKIMPONGEZA ASKOFU MPYA WA JIMBO KATOLIKI LA MBINGA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RAISI JAKAYA KIKWETE AKIMPONGEZA ASKOFU MPYA WA JIMBO KATOLIKI LA MBINGA


Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Askofu mpya wa Jimbo la Mbinga Mhashamu  John Ndimbo
Rais  Jakaya Kikwete akimpongeza Mhashamu Askofu Mpya wa Jimbo la Mbinga wakati wa ibada ya kumsimika Akofu huyo iliyofanyika jana katika kanisa la Mtakatifu Kiliani mjini Mbinga.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages