Mke
wa Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo
(WAMA) Mama Salma Kikwete akisalimia na Dk. Jan Raats Mkurugenzi mkazi
wa mradi wa FHI pamoja tuwalee wakati mkurugenzi huyo alipozitembelea
ofisi za WAMA mwishoni mwa wiki. WAMA kwa kushirikiana na FHI pamoja
tuwalee watafanya kazi kwa pamoja kwa ajili ya kuwakomboa watoto
yatima wa Tanzania
Mke
wa Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo
(WAMA) Mama Salma Kikwete akipokea taarifa ya kuutambulisha mradi wa
FHI pamoja tuwalee kutoka kwa Priskila Gobba ambaye ni Mkurugenzi wa
mradi huo. WAMA kwa kushirikiana na FHI pamoja tuwalee watafanya kazi
kwa pamoja kwa ajili ya kuwakomboa watoto yatima wa Tanzania.
Mke
wa Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo
(WAMA) Mama Salma Kikwete (kushoto) akisoma taarifa ya kuutambulisha
mradi wa FHI pamoja tuwalee. WAMA kwa kushirikiana na FHI pamoja
tuwalee watafanya kazi kwa pamoja kwa ajili ya kuwakomboa watoto
yatima wa Tanzania. Kulia ni Priskila Gobba ambaye ni Mkurugenzi wa
mradi huo.
Picha Anna Nkinda-MAELEZO
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)