NAPE NNAUYE AKAGUA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MPANDA NA KUMALIZA RASMI ZIARA MKOANI RUKWA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NAPE NNAUYE AKAGUA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MPANDA NA KUMALIZA RASMI ZIARA MKOANI RUKWA

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Nchemba Mwigulu waisaidia kupanda nyasi kwenye utakaokuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mpanda mkoani Rukwa, jana
Nape akimtambulisha Mwigulu kwa viongozi wa mkoa wa Tabora walipopita wakiwa njiani kwenda Dodoma baada ya ziara yake mkoani Rukwa.
Nape akishiriki kupiga ngoma katika kijiji cha Inyonga, Kata ya Inyonga wilaya mpya ya Mlele mkoani Rukwa, jana wakati wa mkutano wa mwisho wa hadhara uliofanyika katika kijiji hicho mwishoni mwa ziara yake mkoani Rukwa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages