Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia Makini, Peter Mziray akichangia maoni mjadala
wa Bajeti ya Serikali ya 20011/2012 iliyoandaliwa na Kituo cha
Demokrasia (TCD), Dar es Salaam
Mjumbe
wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), Ramadhan
Madabida akichangia maoni wakati wa mjadala wa Bajeti ya Serikali ya
20011/2012 iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia (TCD), Dar es Salaam
Makamu
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia akiongoza mjadala wa
Bajeti ya Serikali ya 20011/2012 iliyoandiliyoandaliwa na Kituo hicho,
Dar es Salaam
Mwenyekiti
wa Kituo hicho, Profesa Ibrahim Lipumba akifungua mkutano huo wa
mjadala wa bajet.Picha zote na Mdau Richard Mwaikenda
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)