Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Umoja wa Mataifa
kuhusu Ugonjwa wa Ukimwi, unaoendelea jijini New York.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake, mbele ya viongozi waalikwa katika mkutano huo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Ban Ki Moon,
wakati alipokutana naye kwa mazungumzo ofisini kwake jijini New York,
jana Juni 8, 2011 baada ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa Umoja wa
Mataifa kuhusu Ugonjwa wa Ukimwi, unaoendelea.
Naibu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt. Asha Rose Migiro, akisalimiana na
Naibu waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma
Maalim, wakati waziri huyo alipoongozana na Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, katika ofisi ya
Umoja wa Mataifa (UN) New York kwa ajili ya mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
( wa tatu kushoto) akisaini katika kitabu cha wageni baada ya kuwasili
kwenye Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Ban Ki Moon (wa
tatu kulia) kwa ajili ya mazungumzo jijini New York.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)