Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dkt. Asha
Rose Migiro, wakati katibu huyo alipomtembelea hotelini alikofikia
jijini New York, jana Juni 10, 2011 na kufanya mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
(UN), Dkt. Asha Rose Migiro, wakati katibu huyo alipomtembelea hotelini
kwake jijini New York, jana Juni 10, 2011 na kufanya naye mazungumzo
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN),
Dkt. Asha Rose Migiro, wakati katibu huyo alipomtembelea jana Juni 10,
2011 na kufanya naye mazungumzo.
Makamu
Wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Dkt. Mohammed Bilal, Akiwa
Katika Mazungumzo Na Naibu Katibu Mkuu Wa Umoja Wa Mataifa (UN), Dkt.
Asha Rose Migiro, Wakati Katibu Huyo Alipomtembelea Na Kufanya Naye
Mazungumzo
Naibu Katibu Mkuu UN, Dkt. Asha Rose Migiro, Akimkabidhi Zawadi, Makamu Wa Rais, Dkt. Mohammed Bilal
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi zawadi Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt. Asha
rose Migiro, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika kwenye Hoteli
Intercontinental, alipofikia Makamu New York, jana Juni 10, 2011. Wa
pili kushoto ni mke wa Makamu wa Rais Mama Zakhia Bilal na Naibu Waziri
wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
(wa nne kulia), mkewe Mama Zakhia Bilal (wa tatu kulia), Naibu Katibu
Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt. Asha Rose Migiro (wa nne kulia) Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim
(wa pili kulia) na mbunge wa Viti Maalum (CCM) Lediana Mng’ong’o
(kulia). Kutoka (kushoto) ni Balozi wa Tanzania wa Umoja wa Mataifa,
Ombeni Sefue, Naibu Waziri wa Afya , Sawere Nkya, Waziri wa Afya wa
SMZ, Juma Duni Haji na Waziri katika Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais
SMZ, Fatma Fereji, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mazungumzo
baina ya Makamu wa Rais na Naibu Katibu Mkuu jana Juni 10, 2011, New
York.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiwasili kwenye Ukumbi wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa,
jijini New York jana Juni 10, 2011, kwa ajili ya kuhudhuria hatua ya
ufungaji wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ukimwi, uliozishirikisha
nchi zaidi ya 30. Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi Ya Makamu Wa Rais
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)