MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUFIKIA KILELE JUNI 23,2011. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUFIKIA KILELE JUNI 23,2011.


Katibu Mkuu Kiongozi na Mkuu wa Utumishi wa Umma Phillemon Luhanjo akitoa ujumbe wa wiki ya Utumishi wa Umma kwa waandishi wa habari (hawako pichani) ambapo amesema matumizi ya mipango mkakati, mikataba ya kazi, mifumo ya ufuatiliaji na tathmini, upimaji wa wazi wa utendaji kazi na mfumo wa kushughulikia malalamiko ni mambo ambayo yatatiliwa mkazo katika utumishi wa Umma.
Bw. Luhanjo akielezea matarijio ya Utumishi wa Umma kwa siku zijazo ambapo amesema ni kuendelea kuelimisha na kuwakumbusha watumishi wa Umma umuhimu wa kubadilika kifikra ili Utumishi wa sasa na baadaye uwe ni utumishi wezeshi na unaowajibika ipasavyo.Picha na Geofrey Mwakibete 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages