KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA


Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo akiwa nje ya ukumbi wa Bunge la Tanzania mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha kwanza cha mkutano wa nne wa Bunge ulianza jana mjini Dodoma. Waziri huyo anatarajiwa kuwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2011 leo
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda akiwasili katika ukumbi wa Bunge jana mjini Dodoma tayari kwa ajili ya kuendesha kikao cha kwanza cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania ulioanza leo mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiteta jambo nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga(Walemavu) Mh. Al.Shaymaa Kwegyir mara baada ya kutoka kwenye kipindi cha maswali na majibu kwenye mkutano wa nne wa Bunge la Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012.Kesho ni siku ya kusomwa kwa Bajeti ya Serikali.
Baadhi ya wabunge wa Tanzania wakifuatilia kwa makini kipindi cha maswali na majibu jana mjini Dodoma wakati wa kuanza kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa Nne wa Bunge la Tanzania mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages