KUHUSU UPATIKANAJI WA DAWA MSETO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KUHUSU UPATIKANAJI WA DAWA MSETO


Katibu mkuu wa wizara ya Afya ustawi wa jamii Bi. Blandina Nyoni akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jana jijini Dar es salaam juu ya upatikanaji wa dawa mseto za kutibu ugonjwa wa malaria kwa gharama nafuu katika sekta binafsi tanzania bara lengo kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wote hapa nchini wanapata tiba sahihi ya malaria kwa gharama nafuu.Picha na Philemon Solomon

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages