Rais
Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akilihutubia taifa leo mjini Dodoma
kabla ya kutoa taarifa kwa umma kuhusu kukamilika kwa rasimu ya mpango
wa maendeleo wa miaka mitano ( 2011/12 - 2015/16) . Wengine ni Waziri
Mkuu Mizengo Pinda (kulia) na kushoto ni Spika wa Bunge la Tanzania
Anne Makinda.
(PICHA NA TIGANYA VINCENT-MAELEZO)
Habari kwa hisani ya Issa Michuzi Via Mbeya Yetu Blog





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)