DAKTARI MTANZANIA ATISHIA NCHINI MAREKANI KWA OPERESHENI ZA MOYO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

DAKTARI MTANZANIA ATISHIA NCHINI MAREKANI KWA OPERESHENI ZA MOYO


Dkt. Mohamed Janabi, Profesa wa magonjwa ya moyo na daktari binafsi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimhudumia mgonjwa Cameron Smith katika hospitali ya Medical University of South Carolina (MUSC). Nyuma yake ni Dr. Peter Zwerner, Profesa wa magonjwa ya moyo katika hopsitali hiyo. Dkt. Janabi ambaye ni Profesa wa MUSC alikuwa katika chuo hicho majuzi kwa mafunzo na ufundishaji wa muda katika hospitali hiyo.
 
Picha imetolewa na Ikulu, Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages