Rais wa Uganda Yoweri Kabuta Museven, akisalimiana na Mkuu wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba, wakati rais huyo na wakuu wengine wa Jumuiya za Afrika Mashariki, walipokutana na wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi Vodacoma Tanzania. Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na wafanyakazi hao wa Vodacom.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)