MSAFARA WA SEKRETARIETI MPYA YA CCM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MSAFARA WA SEKRETARIETI MPYA YA CCM

Msafara ukipokewa  Chalinze na waendesha pikipiki
Katibu Mkuu wa CCM, Wiliam Mukama na Katibu wa NEC wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakimsalimia Diwani wa Kivaha mjini, Selina Wilson, msafara ulipopokelewa Chalinze
Wanachama wa CCM Chalinze wakishangilia katika mapokezi hayo
Nape Nnauye akimsaidia kupiga ngoma, Shabani Selemani Kombo wa Kikundi cha ngoma ya Silanga kutoka Kata ya Msata, kundi hilo kilipokuwa likitumbuiza wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu mpya wa CCM, Wilson Mukama na Sekretarieti mpya ya CCM, jana Chalinze mkoa wa Pwani.
Mashabiki na wana-CCM wakishangilia mapokezi ya msafara wa viongozi hao ulipowasili Kibaha
Picha Na Chachandu Daily

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages