AJALI MBAYA YATOKEA NJIA PANDA YA MAFINGA YAUWA NA KUJERUHI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

AJALI MBAYA YATOKEA NJIA PANDA YA MAFINGA YAUWA NA KUJERUHI

Gari aina ya Mark II ikiwa imepigwa vibaya Muda mchache Baada ya Ajali kutokea, na pembeni ni Baadhi ya watu ambao walifika kusaidia majeruhi na kuchukua Baadhi ya miili ya Marehemu kuwakimbiza Hospitali huku wengine wakiwa na Minyororo kwa nia ya kunyoosha Gari kuwatoa walio banwa.
Gari kubwa la mizigo lililo acha Njia na Kusababisha  Ajali mbaya iliyo tokea leo Asubuhi
Polisi wa usalama wa Barabarani wakiwa eneo la tukio kusaidiana na wananchi
Kwa Hisani  Ya Mbeya Yetu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages