DIAMOND ALIVYOPAGAWISHA MAISHA CLUB - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

DIAMOND ALIVYOPAGAWISHA MAISHA CLUB

 
Diamond akiwapagawashi mashabiki wake ndani ya ukumbi huo.
MWANAMUZIKI wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’, usiku wa kuamkia leo aliwapagawisha vilivyo mashabiki wake waliohudhuria shoo aliyokuwa akikamua ndani ya ukumbi wa New Maisha Club, Masaki, jijini Dar es Salaam.

 
Miss Kiswahili Rehema Fabian, akifuatilia shoo hiyo.
 
Mwanamitindo maarufu, Kajala Masanja (kulia), akiwa kwenye pozi na mwanamitindo mwenzake.
 
Baadhi ya mashabiki wa muziki huo.
 
Petit Man (kulia), akiwa na rafiki yake.
 
Miss Sinza 2010, Amisuu Malki (kulia), akiwa na mwimbaji wa bendi ya Machozi Carlo.
Picha/Stori: Musa Mateja/GPL

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages