Unaweza ku reserve Meza kama una mazungumzo yako private au hafla fupi unataka kuifanya pale bila kuzuia wateja wengine kuendelea na shughuli zao
----
Nyumbani Lounge Haijaanza rasmi kutoa huduma zote,bado ni polepole
Ufunguzi rasmi utafanyika wiki ijayo na wadau mbalimbali wataalikwa
Kuanzia Jumatatu mapaka ijumaa mchana kutakuwa na buffet
Na kila siku ni chakula cha aina tofauti tofauti,cha Kiswahili
Menu ya leo Jumanne kwa watakaopenda kupita mchana kujaribu ni kama ifuatatvyo
SUPU YA MBUZI
VIAZI VITAMU
SPINACH
MAHARAGE YA NAZI
WALI WA MBOGA MBOGA
KUKU WA RANGI RANGI
UGALI
DAGAA
NA NYAMA
Ufunguzi rasmi utafanyika wiki ijayo na wadau mbalimbali wataalikwa
Kuanzia Jumatatu mapaka ijumaa mchana kutakuwa na buffet
Na kila siku ni chakula cha aina tofauti tofauti,cha Kiswahili
Menu ya leo Jumanne kwa watakaopenda kupita mchana kujaribu ni kama ifuatatvyo
SUPU YA MBUZI
VIAZI VITAMU
SPINACH
MAHARAGE YA NAZI
WALI WA MBOGA MBOGA
KUKU WA RANGI RANGI
UGALI
DAGAA
NA NYAMA
NYUMBANI LOUNGE,Ipo Ada Estate Kinondoni karibu na Best Bite
Ndani ya TRANIC PLAZA
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)