Wazri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akimkaribisha Mbunge wa Bunge la 18 la Korea ambaye pia ni Balozi wa Shirika la Misaada la Korea (KOIKA),Mh. Yoo-Sun Cho alipomtembelea leo ofisini kwake,Magogoni jijini Dar.Mh bibi Yoo-sun cho picha na pmo
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiwa katika mazungumzo na Mh. Yoon-Sun Cho ambaye Mbunge wa Bunge la 18 la korea na ni Balozi wa Shirika la Misaada la Korea (KOICA) pamoja na Balozi wa Korea hapa nchini,Mh. Young-Hoon Kim walipomtembelea leo ofisini kwake,Magogoni jijini Dar.Kwa Msaada Wa Michuzi Blog.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)