Meneja Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja, Christamaria Shine, baada ya kushinda katika mchezo wa kubahatisha wa Bahatika na Tigo. Anayeshuhudia katikati ni Afisa wa Huduma za Ziada wa Tigo, Pamela Shelukindo.
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo mchana huu imewakabidhi zawadi washindi wa promosheni yake mpya ya Bahatika na Tigo iliyozinduliwa Januari 18 mwaka huu. Makabidhiano hayo yaliyafayika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo mchana huu imewakabidhi zawadi washindi wa promosheni yake mpya ya Bahatika na Tigo iliyozinduliwa Januari 18 mwaka huu. Makabidhiano hayo yaliyafayika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wanahabari waliohudhuria hafla hiyo.
PICHA: RICHARD BUKOS /GPL
PICHA: RICHARD BUKOS /GPL





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)