Mkurugenzi wa Metro Tire,ndugu Kessy.
Kamati ya kuandika katiba ikipata U-kodak wa kumbukumbu na Mh.Balozi Mwanaidi Maajar
Mh.Balozi(kati) akisiliza mjadala wa kuchagua kamati itakayounda katiba mpya ya Jumuiya ya Watanzania DMV,kutoka kulia ni Prof.Julius Nyang'oro.Alu Kalala Nyang'oro,Mh.Balozi,Dr.Mkama na Asia Dachi.
Mh.Balozi(wa pili toka kulia)kwa pamoja wakipata picha ya ukumbusho na Kanumba(the Great-kulia),Mzee Yusuf Kalala(kati) Aunt Sharifa Kalala na Baba mweye nyumba wake Salma.
Dj Kerry Kheri akifanya mavitu vitu kwenye Bongo Flava
Mh.Balozi Mwanaidi Maajra(shoto) akipokea zawadi ya matairi kutoka mkurugenzi wa Metro Tire Kessy
Mh.Balozi(shoto) akiwa kwenye picha na Prof.Julius Nyang'oro(kulia),Yusuf Nyang'oro(aliye kaa kati) na aliyesimama ni Danny Kaswamila






















No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)