MAHALA PA TUKIO ILIPOFANYIKA STR8 MUZIKI INTER COLLEGE BASH - ROYAL VILLAGE DODOMA HAPO JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

MAHALA PA TUKIO ILIPOFANYIKA STR8 MUZIKI INTER COLLEGE BASH - ROYAL VILLAGE DODOMA HAPO JANA

1

Kilichokua Kinaendelea Jana Kabla YA Inter College Bash Dodoma katika Hotel ya Royal Village ni utengenezaji wa steji pamoja na kuweka mambo sawa ili watu watakaofika wakae sehemu nzuri.

2
4
5
 Pool Table nazo Zilihusika Mahala Hapo Jana Royal Village
6
7
Moja Ya Sehemu Ya Kuuzia Vinywaji Ilipokua Jana
8
 Hii ni sehemu ya Chakula Ilipokua Jana Royal Village

9
 Kabaaaaaaaaaaa mzigo huu hapa sasa, unakuja mzima unaondoka unayumba

10
Wadau wa Str8Muzik wakiwa kwenye kivuli wakisubiri kuona mambo yanakwenda sawa

11
Anajulikana kwa jina la Braza Peter ni TV Show Producer nae alikuwepo Royal Village Jana katika kuwamulika wasanii wote waliopanda Juu Ya Steji Jana Usiku

12
Mwanamuziki Mansu Lee Nae Alipanda Jukwaani Jana Royal Village Kwenye Show Ya Inter College Bash.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages