MPIGANAJI ABDALLAH RAMADHANI AZIKWA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MPIGANAJI ABDALLAH RAMADHANI AZIKWA LEO


Marehemu Abdallah Ramadhan enzi ya uhai wake
Askari wa kikosi cha usalama barabarani akiongoza msafara wa magari na pikipiki kuelekea katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakati wa mazishi ya Marehemu Abdallah Ramadhani, aliyekuwa Mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten, leo jioni
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakishiriki mazishi ya aliyekuwa mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Abdallah Ramadhani katika makaburi ya Kisutu, leo jioni. Abdallah alifariki juzi kwa ajali ya gari.
Kamanda wa Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati)akiwaongoza wakazi wa jijini Dar es Salaam wakati wa mazishi ya aliyekuwa mtangazaji wa Televisheni ya Channel Ten, marehemu, Abdallah Ramadhani leo jioni.Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages