MASANJA, SHILOLE WATEMBELE NEW YORK CITY - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

MASANJA, SHILOLE WATEMBELE NEW YORK CITY

IMG_5451
Msanii Shilole akipata kitu inaitwa Mbwa wa moto "Hot Dog" wakati alipokua New York City akisubili boti kuelekea kuliko statue of Liberty akiwa ameambatana na msanii mwenzake Masanja (hayupo pichani) Jumanne July 9, 2013,
IMG_5497
Kutoka kushoto ni Ebra NY, Libe, Masanja na Shilole wakiangalia Statue of Liberty kwenye mto wa Hudson unaotenganisha New Jersey na New York.
IMG_5493
Libe, Masanja na Shilole wakinyanyua mikono yao juu kwa mfano wa Statue of Liberty.
IMG_5483
Ebra Vijimambo vya NY (kushoto) akiwa na wageni wake Libe, Shilole na Masanja wakati alipokua akiwadhurulisha New York City Jumanne July 9, 2013.
IMG_5452
Masanja akipata picha nje ya mahali panapoumiwa kupandia boti kwa wasafili wanaoelekea kwenye astatue of Liberty.
IMG_5435
Masanja akipata picha kwenye gari la Polisi wa New York.
IMG_5539
Juu na chini ni Shilole na Masanja wakipiga picha na Polisi kikosi cha farasi Manhattan New York.
IMG_5540
IMG_5509
Shilole akipata picha na jamaa aliyejichora na baada ya picha hua analipwa $1.00.
IMG_5527
Masanja, Shilole na Libe wakiwa na mwenyeji wao Ebra wakipata chakula kwenye mgahawa mmoja wapo Manhattan, New York.
IMG_5531
Shilole akiongea na mtayarishaji wa Video ili amshutie Video ya wimbo wake mpya ambayo anatarajiwa kuifanyia New York City.
IMG_5549
kutoka kushoto ni Miraji, Ebra, Shilole na Bagdela wakitafakali jambo maeneo ya Times Square.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages