Mwenyekiti
wa Taasisi ya Tanzania Centre for Democracy(TCD) ambaye pia ni kiongozi
wa chama cha NCCR Mageuzi Mhe. James Mbatia akimkabidhi Rais Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete maazimio ya Kongamano la Kitaifa kujadili Amani ya
Taifa lililofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam
na kufungwa leo jioni.Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya kufunga Kongamano la
Kitaifa Kujadili Amani ya Taifa lililofanyika katika hoteli ya White
Sands jijini Dar es Salam leo jioni.Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya kufunga Kongamano la
Kitaifa Kujadili Amani ya Taifa lililofanyika katika hoteli ya White
Sands jijini Dar es Salam leo jioni.Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wa vyama vya siasa
vilivyoshiriki katika Kongamano la kitaifa Kujadili Amani ya Taifa
lililofanyika katika Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.Kushoto
ni kiongozi wa Chama cha NCCR Mageuzi Mhe.James Mbatia (MB), Mwenyekiti
wa TLP Mhe.Augustine Lyatonga Mrema(watatu kushoto) na kulia ni
Mwenyekiti wa Chama cha UDP Mhe.John Momose CheyoRais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(aliyekaa katikati) Akiwa katika picha ya
Pamoja na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na washiriki wa
Kongamano la Kitaifa Kujadili Amani ya Taifa lililofanyika katika Hoteli
ya White Sands jijini Dar es Salaam.Picha na Freddy Maro
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Rais Kikwete afunga Kongamano la Kujadili Amani ya Taifa
Rais Kikwete afunga Kongamano la Kujadili Amani ya Taifa
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)