WAFUASI WA SHEKHE PONDA WAZUA KIZUNGUMKUTI PALE SHEKHE PONDA ALIPOKUWA AKIRUDISHWA RUMANDE MUDA MFUPI ULIOPITA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAFUASI WA SHEKHE PONDA WAZUA KIZUNGUMKUTI PALE SHEKHE PONDA ALIPOKUWA AKIRUDISHWA RUMANDE MUDA MFUPI ULIOPITA

 Basi la jeshi la magereza lililowabeba mahabusu wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi ambayo inamuhusisha Shekhe Ponda Issa Ponda likiwa linatoka Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Kuwarudisha Rumande mahabusu Hao huku wafuasi wake wakizomea askari wa kutuliza ghasia muda mfupi uliopita
 Baadhi ya Askari wa Kutuliza Ghasia FFU wakiwa kwenye gari tayari kwa kupambana na lolote litakalojitokeza wakati Shekhe Ponda akirudishwa Mahabusu muda mfupi uliopita
 Wafuasi wa Shekhe Ponda wakiwa Nje ya Mahakama ya Kisutu na Maktaba ya Taifa wakizomea askari wa Kutuliza Ghasi wakati wakisindikiza basi lililobeba mahabusu akiwemo Shekhe Ponda Issa Ponda Muda mfupi uliopita kwenye Barabara ya Bibi Titi Mbele ya Maktaba Kuu ya Taifa
 Wafuasi wa Ponda wakiwa na mabango mbele ya Maktaba Kuu ya Taifa pembeni kidogo ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu muda mfupi uliopita huku wakiwazomea askari wa kutuliza ghasia
 Gari la maji ya kuwasha likiwa linaishia huku likiwa kwenye msafara wa basi linalowarudisha mahabusu rumande huku Shekhe Ponda akiwa Mmoja wao
 Askari wa Kutuliza Ghasia wakiwa Kazini Muda mfupi uliopita
Askari wa Kutuliza ghasia wakiwa kazini
Gari la magereza likiwa linaongoza msafara wa kurudisha mahabusu rumande.
 Wafuasi wa Shekhe Ponda wakiwa wamekaa nje ya Mahakama ya Kisutu na Mbele ya Maktaba Kuu
 Wafuasi wa Shekhe Ponda wakisubiri Shekhe Ponda kutoka Mahakamani

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages