AIRTEL YAPATA WASHINDI WA DROO YA AMKA MILIONEA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

AIRTEL YAPATA WASHINDI WA DROO YA AMKA MILIONEA



Meneja uhusiano wa Airtel Bw Jackson Mmbando( kulia)  akiongea na washindi wa promosheni ya Amka millionea wakati wa droo ya wiki ya sita ya promosheni hiyo ambapo wateja mbalimbali wa Airtel wameibuka washindi wa pesa taslim, katika ni Afisa huduma za ziada wa Airtel Fatma Ngororo na kushoto ni Mwakilishi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Bi Chiku Saleh, Jinsi ya kushiriki promosheni hiyo mteja atatakiwa kutuma neno SHINDA au WIN kwenda namba 15595 bure na atapokea maswali atakayoyajibu na kukatwa sh 350 kila sms na kupata point zitakazomuwezesha kushinda  kila siku za sh milioni 1 au 2 na kila mwisho wa mwizi   shilingi milioni  15Tsh.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages