Meneja
uhusiano wa Airtel Bw Jackson Mmbando( kulia) akiongea na washindi wa
promosheni ya Amka millionea wakati wa droo ya wiki ya sita ya
promosheni hiyo ambapo wateja mbalimbali wa Airtel wameibuka washindi wa
pesa taslim, katika ni Afisa huduma za ziada wa Airtel Fatma Ngororo na
kushoto ni Mwakilishi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Bi Chiku Saleh,
Jinsi ya kushiriki promosheni hiyo mteja atatakiwa kutuma neno SHINDA
au WIN kwenda namba 15595 bure na atapokea maswali atakayoyajibu na
kukatwa sh 350 kila sms na kupata point zitakazomuwezesha kushinda kila
siku za sh milioni 1 au 2 na kila mwisho wa mwizi shilingi milioni
15Tsh.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
AIRTEL YAPATA WASHINDI WA DROO YA AMKA MILIONEA
AIRTEL YAPATA WASHINDI WA DROO YA AMKA MILIONEA
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)