Katibu
Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Nevile Meena akihutubia katika
mkutano uliofanyika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam jana, kulaani
ktendo cha Polisi kumuua kwa bomu Mwandishi wa habari wa Kituoc ha
Televisheni cha Channel Ten, Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi
katika vurumai zilizotokea wakati Chadema wakifungua tawi katika Kijiji
cha Nyololo, wilayani Mufindi hivi karibuni.

Huyu ni Manyerere Jackton na bango lake


Hili ni moja ya mabango waliyokuwa nayo waandishi

Jese Kwayi, Mzee Maro na mwezake wakiwa kwenye maandamano hayo

"
Dk. Nchimbi ondokaaaaa" mwandishi akipaza sauti kuungana na wenzake
waliokuwa wanamkataa kuwepo Kwa waziri wa mambo ya ndani Dk Emmanuel
Nchimbi

Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amefunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo

Hawa nao wakati mmoja ameziba mdomo, mwenzake akaziba macho kufikisha ujumbe wa kulaani mauaji ya Mwangosi
Waziri
wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano wa
wanahabari viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana
kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,


Waziri
wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akajaribu kuwatuliza...
waandishi bila mafanikio amabao walimtaka aondoke haraka enepo hilo


Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akiondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri

Waandishi wakiingia viwanja vya Jangwani.Picha zote na Mdau Richard Mwaikenda na Bashir Nkromo





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)