SANDE KIZITO WA UGANDA NA MTANZANIA RAMADHANI SHAURI WAMEPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO WA IDI PILI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SANDE KIZITO WA UGANDA NA MTANZANIA RAMADHANI SHAURI WAMEPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO WA IDI PILI

Bondia Sande Kizito wa Uganda akipima Uzito leo kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa IBF Africa  litakalofanyika katika ukumbi wa Diamond Jublee kushoto ni Mpinzani wake Ramadhani Shauri
Rais wa TPBO Yasin Abdallah kulia akepeana mkono wa idi na Mtangazaji wa Radio Times Kondo walipokutana wakati wa sikukuu ya idi
Rais wa IBF Africa Onesmo Ngowi katikati akiwa  ameshikilia mkanda wa ubingwa wa IBF Africa utakaogombaniwa na Ramadhani Shauri wa pili kushoto na Sande Kizito wa Uganda kushoto ni Katibu wa TPBC Nemes Kavishe na Rais wa TPBO Yasin Abdallah

UBINGWA WA IBF AFRICA HADHARANI KESHO
Ramadhani Shauri wa Tanzania kushoto na Sande Kizito wa Uganda wakitunishiana misuri leo wakati wa upimaji wa uziti picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages