Mkuu
wa mkoa wa pwani Mwantumu Mahiza amezindua magari mawili ya kubebea wagonjwa katika hospitali ya Tumbi mkoani pwani magari hayo yametolewa
na serikali ya korea kupitia Rotary intenational club ya tanzania magari
hayo yana thamani ya shilngi milioni mia mbili thelathini za kitanzania
kulia ni Jinyong Kim kutoka shirika la kimaendeleo la korea (koika)
aliye kushoto ni mwakilshi wa rotary club tanzania bwana Bill bali
nyuma yao ni mganga mkuuwa hosipitali ya tumbi Dr Petar datani na aliye
nyosha mkono ni mkurugenzi mkuu wa shirika la elimu kibaha Dr Cyprian
mpemba hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyikia katika hospitali ya
tumbi kibaha Picha na Chris mfinanga
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
MKUU WA MKOA WA PWANI MWANTUMU MAHIZA APOKEA NA KUZINDUA MAGARI YA KISASA YA KUBEBEA WA GONJWA
MKUU WA MKOA WA PWANI MWANTUMU MAHIZA APOKEA NA KUZINDUA MAGARI YA KISASA YA KUBEBEA WA GONJWA
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)