GAVANA
wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu akiongea na
waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu masuala mbalimbali
ikiwemo mfumo wa mawakala wa Benki hiyo wa kununua dhamana za Serikali
na hati fungani kwa njia ya mtandano(online) kwenye mnada na hivyo
kupunguza ule utaratibu wa dhamana wa kupeleka karatasi katika Benki ili
kupata huduma hiyo.
Maswali---
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu(kushoto) na
Naibu Gavana wa BoT, Dk Natu Mwamba(kulia) wakinukuu maswali mbalimbali
ya waandishi wa habari jana (leo) jijini Dar es salaam kabla hawajaanza
kuyatolea ufafanuzi.Picha na Vicent Tinganya-Maelezo
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)