BLOGGER: JOACHIM MUSHI WA THE HABARI AUAGA UKAPERA KWA KISHINDO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

BLOGGER: JOACHIM MUSHI WA THE HABARI AUAGA UKAPERA KWA KISHINDO

Mhariri Mkuu wa Thehabari.com, Joachim Mushi (kushoto) akigonganisha glasi na mkewe Hilder Mwaipopo juzi (Agost 25) kwenye mnuso wao baada ya kumeremeta katika Kanisa Katoliki Parokia ya Tabata.
Hapa ilikuwa ni wakati wa Mr & Mrs Joachim Mushi kufungua muziki.
Bi. Hilder Mwaipopo (kulia) akijiandaa kumnywesha mvinyo mumewe Joachim Mushi kwenye mnuso wa kumeremeta kwa  jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages