YANGA YATINGA NUSU FAINALI KWA MIKWAJU YA PENATI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

YANGA YATINGA NUSU FAINALI KWA MIKWAJU YA PENATI

Mchezaji wa timu ya Yanga Stefano Mwasika akikokota mpira kuelekea goli la timu  ya Mafunzo ya Zanzibar huku beki wa timu ya Mafunzo Ismail Khamis Amour wakati timu hizo zikichuana katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Kagame unaofanyika jioni hii kwenye uwanja wa Taifa, mpira umekwisha na timu ya Yanga imeshinda kwa penati 5-3 baada ya kutoka suluhu katika kipindi cha dakika tisini za mchezo huo, magoli 1-1 ambapo timu ya Mafunzo ilijipatia goli lake kupitia mchezaji Ali Othman Mpemba katika dakika ya 35 kipindi cha kwanza huku lile la Yanga likifungwa na  Said Bahanuzi katika dakika ya 46 kipindi cha pili, ndipo baada ya dakika tisini penati zikapigwa Yanga kufanikiwa kuifunga Mafunzo kwa matuta

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages