Mchezaji wa timu ya Yanga Stefano Mwasika akikokota mpira kuelekea goli
la timu ya Mafunzo ya Zanzibar huku beki wa timu ya Mafunzo Ismail
Khamis Amour wakati timu hizo zikichuana katika mchezo wa Robo Fainali
ya Kombe la Kagame unaofanyika jioni hii kwenye uwanja wa Taifa, mpira
umekwisha na timu ya Yanga imeshinda kwa penati 5-3 baada ya kutoka
suluhu katika kipindi cha dakika tisini za mchezo huo, magoli 1-1 ambapo
timu ya Mafunzo ilijipatia goli lake kupitia mchezaji Ali Othman Mpemba
katika dakika ya 35 kipindi cha kwanza huku lile la Yanga likifungwa
na Said Bahanuzi katika dakika ya 46 kipindi cha pili, ndipo baada ya
dakika tisini penati zikapigwa Yanga kufanikiwa kuifunga Mafunzo kwa
matuta
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
YANGA YATINGA NUSU FAINALI KWA MIKWAJU YA PENATI
YANGA YATINGA NUSU FAINALI KWA MIKWAJU YA PENATI
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)