TASWIRA ZA LADY JAY DEE NA FAMILIA YAKE WALIPOTOA MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA MAUNGA CENTRE KINONDONI JIJINI DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TASWIRA ZA LADY JAY DEE NA FAMILIA YAKE WALIPOTOA MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA MAUNGA CENTRE KINONDONI JIJINI DAR


Pichani Juu na Chini ni Wanafamilia wa Jay Dee wakipakia mizigo tayari kuelekea kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Centre kwa ajili ya kukabidhi msaada.

Baadhi ya wanafamilia katika pozi kabla ya kuanza safari ya kuelekea kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre.

Kiongozi wa msafara LadyJay Dee akielekea kupanda usafiri maalum ulioandaliwa.

Wanafamilia ndani ya basi kuelekea Maunga Cente kituo cha watoto yatima kwa shughuli nzima ya kukabidhi msaada.

Wanafamilia Ester Ulaya Cathbert na Maggie wakifanya shopping katika maduka ya Kinondoni njiani kuelekea kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre.

Judith G. Habash a.k.a Komando Binti Machozi Lady Jay Dee akiwasili na Familia yake katika Kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Centre kilichopo maeneo ya Kinondoni Hananasifu.

Wanafamilia wa Jay Dee wakishuka kwenye basi baada ya kuwasili.
Vijana wa Familia ya Jay Dee wakishusha msosi ulioandaliwa Nyumbani Lounge kwa ajili ya watoto yatima wa Kituo cha Maunga Centre.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages